Slider Adverts

Wednesday, May 15, 2013

DEAR MISSIE POPULAR !!!


"Pleaseeeee.... It got the attention,now let's us let it go and adopt a new style....And am not saying this because i have short hair... :))"

DEAR MISSIE POPULAR WE LOVE KNOT  UPDO HAIRSTYLE!!
Dear missiepopular on behalf of my fellows who love that hair style that your tied of it! please tuachee kabisaaa .even us we are tied of your short hair style please your a fashion blogger try to inspire us with different hair style.am just saying ..lol

The reason why i love knot updo hairstyles  its simple,classy,neat , doesn't take a lot of my time and easy to do it.#TEAMKNOTUPDO lets keep it simple,classy and trend!!



hhahaha mutuache na ngata zetu awaaah ! cheers #okybyeeee

16 comments:

  1. CHEEEERZ to You honey!!!!!
    kila siku tunaona new style za watu wenye nywele fupi yeye hajawahi kujaribu hata moja so atuacheeee....

    ReplyDelete
  2. ni kweli kabisa unajua hata mimi nakuunga mkono kila mtu anafanya anavyotaka kujihusu yeye hasa ukiangalia kama unapendeza huku kubalilika badilika ndio mwisho wake wanakuwa na Mawigi kama mizimu imefufuka afadhali umesema ukweli GYVER KIPENDACHO ROHO ULA NYAMA MBICHI MIMI MWENYEWE NAKUPENDA UNAVYOZIBANA HADI NASIKIA RAHA VERY SIMPLE ALAFU NA MTU UNAONEKANA WA MAANA YAANI IMETULIA VERY NICE WATU WENGINE BWANA WAO HUA HAWAJIONI KAZI KUANGALIA YA WENZAO SIJUI NI KWANINI? WAO WANABOA MPAKA BASI HATA HAWAONEKANI WASAFI.

    ReplyDelete
  3. uko bomba gyver bint mrembo na style yako ukiona mwanamke mwenzio anakuzungumzia ujue amekukubali.

    ReplyDelete
  4. hata mimi naipenda sana hii style Gyver sema tu sina nywele nimekata yaani kila siku yaani inakufanya mtu unakuwa na kauso kazuri yaani unapendeza ile mbaya unajua watu wengine hua wanaona donge wasijui wakoje hivi inakuwaje unamfatilia mtu kwa nini usifuatilie vipilipili vyao kama wamelambwa na paka.

    ReplyDelete
  5. TOPKNOT ndiyo mpango mzima Very sex, very simple, very smart. popote ukitembe unajiamini acha mwenye nywele ndefu tujidaii

    ReplyDelete
  6. gyver unapendaza sana wewe dada uko mkimya good girl. kaa nae mita mia mtu anayeanza kukufuatilia unachanaje nywele? umekula nini? unakwenda wapi? unafanya nini? ndio hao wote wanaokula sana ugali mweupe wanakuwa hawana akili za kufikilia mambo makubwa wanawaza fulani kafanyaje?!!! wanakuwa wanapenda kufuatilia maisha ya mtu kuliko yakwao wenyewe

    ReplyDelete
  7. hata mimi naipendaga sana hiyo staili ya ngata nikija kuolewa nitawaambia saloon wanichane kama wewe Gyver. achana nao wenye witu mpaka kwenye nywele lakini ni haki yao kuwa na wivu maana mwanamke nywele hasa ziwe ndefu nawe uweke NGATA.hahahahahaha

    ReplyDelete
  8. uko juu gyver staili yako bombaaaa sanaaa penda veve, NGATA KWA KWENDA MBELEEEE. nyani haoni KUNDULE yaani wao ndio kila siku wako hivyohivyo alafu wanawasema wenzao jamani binadamu wanachekesha sana jamani viumbe kweli wazito. mdau wa ugali umenena.

    ReplyDelete
  9. M.P umechemsha wewe ndio ubadilike.hahahahahah anza wewe hahahah

    ReplyDelete
  10. na kweli MP TOA BOLITI KATIKA JICHO LAKO NDIO UTIZAME LA MWENZAKO MAZA FANTA.

    ReplyDelete
  11. gyver achana na waswahili wanawivu tuuu uko juuu mwaya mutoto muzuriiiiiiiiiiiii style yenu ya ngata nzurijeeee????

    ReplyDelete
  12. tena style ya NGATA ukipenda unafunga mpaka vilemba kwa msiokuwa na nywele msione wivu fungeni tu vilemba kwa style ya ngata unatoka mchicha kuliko kuanza kubwabwaja na madonge yenu ya roho bure mtakabwaaa

    ReplyDelete
  13. Style hiyo ni nzuri. it's simple, smart and classic. Inahitaji uwe na nywele nyingi ili ngata ijae au uweke extension na uso uwe mrefu na umejaajaa. Ellygiver haikupendezi, nywele zako chache, kangata kanakuwa kadogo, kanachusha na uso wako haujajaa.Muangalie Sarah, Devotha na Belinda walivyopendeza, halafu jiangalie na wewe, utagundua ukweli. Wanaopendeza waendelee, wewe achana nayo, tafuta style itakayo ku suit.

    ReplyDelete
  14. inampendeza sana hiyo style we kishoia una lako la rohoni hakuna inayomchukiza tena yeye ndio kaibana vizuri kabisa kwa maana imesogea mbele acha unafiki wote wamependeza , WEWE MBONA HUBANI WEWE NDIO TAFUTA ITAKAYO KU SUIT. mijitu mingine bana msonyoooo,

    ReplyDelete
  15. we mdau macho yako yanamakengeza ulivyo muona ellygiver,namjua vizuri huyo dada hizo ni nywele zake hajaweka kibandiko wala nini una wivu tu mtoto wa watu kapendeza eti sura sijui nini sasa wewe sura yako utajifananisha na gyver.mtakufa na roho zenu mbayaa, mazafanta

    ReplyDelete
  16. ellygyver we mzuri hadi raha jamniiiii, unapendeza sana tena sana yaani kupita kiasi na hiyo ngata

    ReplyDelete

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...